Like us on Facebook..!

FIND G5 ON

ADVERTISEMENT

Top 3 Photos Today

1. shilah

Added by jack nyenza ligimilo on May 26, 2013

2. me

Added by ancilar on August 15, 2012

3. DSC00512

Added by Benni ally baby-g on May 16, 2013

Top 5 Videos this Week

1. Besta - For ma Baby

Added by nelson on June 3, 2011

3. ZE COMEDY - MKASA WA BOSI

Added by DJ CHOKA on May 13, 2009

Badge

Loading…

Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

Music

Loading…

Advertisement

Advertisement

ADVERTISEMENT

Advertisement

 

Members

News Posts

Video za utengenezaji wa video ya mwisho aliyoonekana Marehemu Ngwea South Africa.

Posted by G5 NEWS on June 18, 2013 at 1:00pm 0 Comments

Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku kadhaa kabla ya kifo, Ngwea alifanya video ya wimbo alioshirikishwa na msanii Mtanzania anaeishi Afrika Kusini aitwae Mossred.

Hizi video hapa chini ni sehemu ya utengenezwaji wa hiyo video ambayo bado haijatoka….. ilifanyika Kimberley

SIRI ZAIDI KIFO CHA MWANAMUZIKI LANGA!

Posted by G5 NEWS on June 18, 2013 at 12:52pm 0 Comments

Na Mwandishi Wetu

MWILI wa mwanamuziki Langa Kileo jana (Jumatatu) ulipumzishwa kwenye nyumba ya milele katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar lakini nyuma ya kifo chake kuna siri ambayo rafiki yake wa karibu (jina linahifadhiwa) mkazi wa Mikocheni A jijini Dar ameamua kuiweka hadharani.

Akizungumza na Uwazi juzi, rafiki huyo wa marehemu alisema, siku chache kabla ya kifo chake alimfuata na kumwambia kuwa Israel mtoa roho anamtembelea usiku na anahisi siku si nyingi atamfuata mshikaji wake aliyetangulia mbele ya haki, Albert Mangweha ‘Ngwea’.

“Hii ni siri ambayo hata ndugu zake hawaijui lakini mshikaji alijua anakufa. Alijitahidi kukikwepa kifo lakini alishindwa. Siku chache kabla hajafa, usiku alikuja kwangu na kuniambia kule kwao kwenye geto lake…

BOMU ARUSHA... NJAMA NZITO

Posted by G5 NEWS on June 18, 2013 at 12:44pm 0 Comments

Na Joseph Ngilisho, Arusha

NYUMA ya matukio ya kigaidi ambayo yamefululiza kutokea jijini Arusha kuna njama nzito baada ya kuibuka maswali mengi yanayosababisha mahali hapa kutokuwa shwari na salama kufuatia bomu lililolipuliwa Jumamosi iliyopita, Uwazi lina uchambuzi.

Baadhi ya majeruhi katika mlipuko huo wa bomu.

Bomu hilo lililipuliwa katika mkutano wa Chadema wa kumaliza kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Kaloleni jijini hapa na…

MOTO WAZUA KIZAA ZAA KARIAKOO JIJINI DAR

Posted by G5 NEWS on June 18, 2013 at 11:55am 0 Comments

Moto ukiunguza paa la baa hiyo.

Hali ikiwa tete.

Shoti ya umeme ikitokea karibu na jengo hilo.…

MASTAA WA K*** BONGO MOVIE… KAMA MAFUNGU YA NYANYA

Posted by G5 NEWS on June 17, 2013 at 4:35pm 1 Comment

Na Imelda Mtema

NI sahihi kabisa nikisema kuwa Klabu ya Bongo Movie Unity ndiyo jicho la mashabiki wengi wa filamu za nyumbani. Wasanii waliopo ndani ya umoja huo, wengi wao ndiyo mastaa wakubwa ambao mashabiki hupenda kuwafuatilia ili kujua maisha yao.

Wolper.

Umoja huo unaundwa na mastaa wa k*** na wa kiume. Lengo la kufanya hivyo ni kuweka mambo yao katika misingi ya umoja, usawa na katika shughuli zao za kila siku. Pamoja…

Ludacris Amepiga Hizi Picha Baada Ya Uvumi Kuwa Kapigwa Na Chupa Kichwani

Posted by G5 NEWS on June 17, 2013 at 3:59pm 0 Comments

Yes jamaa anajua kutumia Instargram yake vizuri, Ludacris ameingia kwenye Instargram kukanusha kuwa ameumizwa na chupa iliyo rushwa wakati anapiga mzigo kwenye club flani huko Atlanta. Ndio kuna chupa ilirushwa kuelekea kwangu ila haijanigusa and i m okey alisema Ludacris kupitia hii picha aliyo weka kwenye twitter pia

Rapper Jay Z Ametangaza Ujio Wa Album Yake Mpya Na Jinsi Ya Kuipata Kirahisi

Posted by G5 NEWS on June 17, 2013 at 3:51pm 0 Comments

Rapper anaye set standard za Hiphop duniani Jay Z ametangaza ujio wa cd yake mpya Itakayoitwa Magna Carta Holy Grail, Itakuwa mtaani July 4 na kupitia Simu za Sumsung utaipata kirahisi zaidi. Watumiaji Milioni moja wa kwanza wa Samsung Galaxy III, Galaxy S 4, na Galaxy Note II watapata nafasi ya kuwa na application itakayo ruhusu kudownload cd hio. Application hii itakuwa tayari June 24 kupitia magnacartaholygrail.com .

Wakati wa game 5 ya NBA Finals walirusha clip inayo muonyesha Jay z akiwa na Rick Rubin, Pharrel Williams,Swizz Beats Na Timbaland wakitengeneza mzigo mwingine. Album ya Mwisho wa Jigga Ilikuwa The BluePrint 3 ya 2009

MRISHO MPOTO NA BENDI YA MJOMBA BAND KUFANYA KAMPENI YA USAFI WA MAZINGIRA‏

Posted by G5 NEWS on June 17, 2013 at 3:47pm 0 Comments

Mariam Mahamudu Afisa Afya, Mazingira Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii akizungumza katika mkutano huo kuzungumzia kuhusu kampeni hiyo, kulia ni Mrisho Mpoto Mkurugenzi wa Mjomba Band.

Kundi zima la Mjomba Band likiwa katika mazoezi makali katika makao makuu ya kundi hilo Kinondoni Mkwajuni.

Msanii wa ngoma za asili na Mkurugenzi wa bendi ya Mjomba Band Mrisho Mpoto akizungumza na waandishi wa habari…

Events

 
 
 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

#ContentAdverts{ width:488px; float:center; margin-right:15px; }