Added by rana ahmed on May 14, 2013
Added by milysairus02 on May 9, 2013
Added by deejay dullah on November 16, 2011

Started by lipcandy in Love. Last reply by Uybtyut Y byu 3 hours ago. 17 Replies 0 Likes
Started by G5 NEWS in Love. Last reply by Uybtyut Y byu 3 hours ago. 5 Replies 0 Likes
Started by G5 NEWS in Love. Last reply by Uybtyut Y byu 3 hours ago. 6 Replies 2 Likes
Started by Mustapha Selemani in Friendship. Last reply by Ailer May 9. 80 Replies 0 Likes
Started by Mustapha Selemani in Uncategorized. Last reply by Uybtyut Y byu 3 hours ago. 34 Replies 0 Likes
Added by G5 NEWS on April 24, 2013
Added by G5 NEWS on May 14, 2013
Added by G5 NEWS on May 3, 2013
Posted by G5 NEWS on May 25, 2013 at 12:49pm 0 Comments 0 Likes
Posted by G5 NEWS on May 25, 2013 at 12:46pm 0 Comments 0 Likes
DAKTARI wa meno wa Hospitali ya Wilaya ya Morogoro, Alnord Limo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40, amekutwa amefariki dunia kwenye chumba cha gesti huku habari zikidai alijinyonga kwa shuka.
Mkasa huo ulimfika daktari huyo Jumatano iliyopita kwenye nyumba ya kulala wageni ya Camel iliyopo Kihonda, kandokando ya barabara kuu ya Morogoro kwenda Dodoma.
Mhudumu wa gesti hiyo ambaye aliomba hifadhi ya jina, kwa kuwa si msemaji mkuu wa kazini kwake, alidai siku ya tukio marehemu alifika kwenye gesti hiyo…

Posted by G5 NEWS on May 25, 2013 at 12:41pm 0 Comments 0 Likes
Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam imeamua kumuachia huru Ramadhani Selemani Mussa ambaye alikuwa akikabiliwa na kesi ya kukutwa na kichwa cha mtu. Rama, ambaye muda wote huo alikuwa rumande gereza la Segerea akisota kusubiri hukumu yake, alikamatwa hospitali ya Muhimbili mwaka 2008 ambapo pia alikiri kuwa alikuwa na tabia ya kula nyama za watu ambayo amefundishwa kichawi toka alipokuwa mdogo. Mahakama imemuachia huru kwasababu mtuhumiwa alitenda kosa hilo pasipo kuwa na akili timamu. Hata hivyo mahakama hiyo imetoa agizo la kuendelea kumuweka kijana huyo katika hospitali ya wagonjwa wenye matatizo ya akili, hospitali ya Isanga iliyopo Dodoma mpaka pale atakapona ndipo aruhusiwe kurudi mtaaani.habari kutoka karibu…
Posted by G5 NEWS on May 25, 2013 at 12:30pm 0 Comments 0 Likes
Posted by G5 NEWS on May 24, 2013 at 12:30pm 0 Comments 0 Likes
Posted by G5 NEWS on May 24, 2013 at 12:30pm 0 Comments 0 Likes
Posted by G5 NEWS on May 24, 2013 at 12:21pm 0 Comments 0 Likes
Na Khatimu Naheka
HATIMAYE kipa Yaw Berko amesitishiwa mpango wa kuondoka Yanga baada ya klabu hiyo kuamua kumpa mkataba mpya wa kukitumikia kikosi hicho.
Awali Yanga walikuwa na mpango wa kumuacha kipa huyo raia wa Ghana, ambaye tayari alikuwa akisubiri kupeana mkono wa kwaheri na viongozi wa klabu hiyo, mpango ambao sasa ni wazi umekufa rasmi.
Taarifa ambazo Championi Ijumaa limezipata kutoka kwenye jopo la mabosi wanaoshughulikia usajili, zimesema kuwa Berko sasa amerudishwa ndani ya klabu hiyo tayari kwa kushirikiana na Ally Mustapha ‘Barthez,’ ambaye ameonekana kukosa msaidizi wa uhakika katika nafasi hiyo.
Taarifa zilisema kuwa kurudi kwa Berko kumetokana na ripoti ya benchi la ufundi la klabu hiyo lililo chini ya Ernie Brandts, kuhitaji kipa mwingine mwenye…

Posted by G5 NEWS on May 24, 2013 at 12:18pm 0 Comments 0 Likes
Hii ni brand new toka kwa Cannibal baada ya kuachia Legend iliyotambulika zaidi kwa video yake ya kipekee,Cannibal ameamua kufanya wimbo huu as a special dedication to his father,hii ni maalum kwa baba yangu mzazi,nimemkumbuka sana na natumai wote mtaipokea vizuri wakati nikiendelea kujiandaa na video itakayofanyika hivi karibuni "Cannibal"
Posted by G5 NEWS on May 24, 2013 at 12:14pm 0 Comments 0 Likes
Haruna Niyonzima.
Na Joan Lema
WAKATI Yanga ikiendelea na mchakato wa kumshawishi kiungo wao, Haruna Niyonzima kusaini mkataba mpya wa kuitumikia timu hiyo ambayo ni bingwa wa Ligi Kuu Bara, limeibuka jipya ambapo mchezaji huyo amepata ofa nono kutoka Tunisia.
Niyonzima ambaye amekuwa na msaada mkubwa klabuni hapo, bado hajasaini mkataba mpya mpaka sasa na anatarajiwa kuondoka nchini keshokutwa kwenda Rwanda kwa ajili ya kupumzika kabla ya kuamua kusaini Yanga au la.
Taarifa kutoka Tunisia zinaeleza kuwa, klabu moja kubwa ya nchini humo imeonyesha nia ya kumsajili Niyonzima ambaye ni kiungo wa zamani wa APR na tayari imeshampatia ofa nzuri ambapo mchezaji huyo amewajibu kuwa anaomba muda…

© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.
