Latest Activity

shohag hasan posted a status
""
6 minutes ago
kusa lusa posted a status
9 minutes ago
m.kellye posted a status
"http://www.eteamz.com/kairomishor/ HDHQ Froch vs Kessler Live Stream Weigh IN Coverage Alibabaa"
9 minutes ago
m.kellye posted a status
"http://www.eteamz.com/kairomishor/ HDHQ Froch vs Kessler Live Stream Weigh IN Coverage Alibabaa"
10 minutes ago

Like us on Facebook..!

FIND G5 ON

ADVERTISEMENT

Top 5 Videos this Week

3. Wiz Khalifa- STU

Added by G5 NEWS on October 21, 2012

Badge

Loading…

Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

Music

Loading…

Advertisement

Advertisement

ADVERTISEMENT

Forum - Discussions

What do you think about online relationships?

Started by lipcandy in Love. Last reply by Uybtyut Y byu 3 hours ago. 17 Replies

WHY SINGLE WOMEN ARE ATTRACTED TO JERKS ?

Started by G5 NEWS in Love. Last reply by Uybtyut Y byu 3 hours ago. 6 Replies

Can you date your best friend

Started by Mustapha Selemani in Friendship. Last reply by Ailer May 9. 80 Replies

What do you guys think about ZAIN or CELTEL servces

Started by Mustapha Selemani in Uncategorized. Last reply by Uybtyut Y byu 3 hours ago. 34 Replies

Advertisement

 

Members

News Posts

LUDACRIS AACHIA MIXTAPE SIKU MOJA NA MOVIE ALIYOSHIRIKI "FAST AND FURIOUS 6"

Posted by G5 NEWS on May 25, 2013 at 12:49pm 0 Comments

Rapper LudaCris amedondosha moxtape yake mpya leo kupitia Datpiff.com ikiwa ni siku moja na release ya movie aliyoshiriki 'fast and furious 6', mixtape hiyo ina nyimbo10 na tayari ishadondoka leo hii, pichani ni cover yenye track list ya nyimbo hizo.

DAKTARI ADAIWA KUJINYONGA KWA SHUKA GESTI

Posted by G5 NEWS on May 25, 2013 at 12:46pm 0 Comments

DAKTARI wa meno wa Hospitali ya Wilaya ya Morogoro, Alnord Limo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40, amekutwa amefariki dunia kwenye chumba cha gesti huku habari zikidai alijinyonga kwa shuka.

Mkasa huo ulimfika daktari huyo Jumatano iliyopita kwenye nyumba ya kulala wageni ya Camel iliyopo Kihonda, kandokando ya barabara kuu ya Morogoro kwenda Dodoma. 

Mhudumu wa gesti hiyo ambaye aliomba hifadhi ya jina, kwa kuwa si msemaji mkuu wa kazini kwake, alidai siku ya tukio marehemu alifika kwenye gesti hiyo…

BREAKING NEWS: RAMA MLA WATU AACHIWA HURU

Posted by G5 NEWS on May 25, 2013 at 12:41pm 0 Comments

Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam imeamua kumuachia huru Ramadhani Selemani Mussa ambaye alikuwa akikabiliwa na kesi ya kukutwa na kichwa cha mtu. Rama, ambaye muda wote huo alikuwa rumande gereza la Segerea akisota kusubiri hukumu yake, alikamatwa hospitali ya Muhimbili mwaka 2008 ambapo pia alikiri kuwa alikuwa na tabia ya kula nyama za watu ambayo amefundishwa kichawi toka alipokuwa mdogo. Mahakama imemuachia huru kwasababu mtuhumiwa alitenda kosa hilo pasipo kuwa na akili timamu. Hata hivyo mahakama hiyo imetoa agizo la kuendelea kumuweka kijana huyo katika hospitali ya wagonjwa wenye matatizo ya akili, hospitali ya Isanga iliyopo Dodoma mpaka pale atakapona ndipo aruhusiwe kurudi mtaaani.habari kutoka karibu…

BIG BROTHER THE CHASE INAANZA JUMA PILI HII

Posted by G5 NEWS on May 25, 2013 at 12:30pm 0 Comments

Siku ya tarehe 26 mwezi huu, itaanza kuonyeshwa rasmi msimu mpya wa big brother "the chase" kwa wale wenye dstv usikose kuangalia kupitia channel 198 upate kujua ni nani atakaeiwakilisha Tanzania mwaka huu. Dola laki tatu kushindaniwa

STAY TUNED.....

Posted by G5 NEWS on May 24, 2013 at 12:24pm 0 Comments

Yaw Berko arudi Yanga SC, asaini mkataba mpya

Posted by G5 NEWS on May 24, 2013 at 12:21pm 0 Comments

Na Khatimu Naheka

HATIMAYE kipa Yaw Berko amesitishiwa mpango wa kuondoka Yanga baada ya klabu hiyo kuamua kumpa mkataba mpya wa kukitumikia kikosi hicho.

Awali Yanga walikuwa na mpango wa kumuacha kipa huyo raia wa Ghana, ambaye tayari alikuwa akisubiri kupeana mkono wa kwaheri na viongozi wa klabu hiyo, mpango ambao sasa ni wazi umekufa rasmi.

Taarifa ambazo Championi Ijumaa limezipata kutoka kwenye jopo la mabosi wanaoshughulikia usajili, zimesema kuwa Berko sasa amerudishwa ndani ya klabu hiyo tayari kwa kushirikiana na Ally Mustapha ‘Barthez,’ ambaye ameonekana kukosa msaidizi wa uhakika katika nafasi hiyo.

Taarifa zilisema kuwa kurudi kwa Berko kumetokana na ripoti ya benchi la ufundi la klabu hiyo lililo chini ya Ernie Brandts, kuhitaji kipa mwingine mwenye…

NGOMA MPYA: CANNIBAL-BYE BYE

Posted by G5 NEWS on May 24, 2013 at 12:18pm 0 Comments

Hii ni brand new toka kwa Cannibal baada ya kuachia Legend iliyotambulika zaidi kwa video yake ya kipekee,Cannibal ameamua kufanya wimbo huu as a special dedication to his father,hii ni maalum kwa baba yangu mzazi,nimemkumbuka sana na natumai wote mtaipokea vizuri wakati nikiendelea kujiandaa na video itakayofanyika hivi karibuni "Cannibal"

Waarabu wampa mkataba Haruna Niyonzima

Posted by G5 NEWS on May 24, 2013 at 12:14pm 0 Comments

Haruna Niyonzima.

Na Joan Lema

WAKATI Yanga ikiendelea na mchakato wa kumshawishi kiungo wao, Haruna Niyonzima kusaini mkataba mpya wa kuitumikia timu hiyo ambayo ni bingwa wa Ligi Kuu Bara, limeibuka jipya ambapo mchezaji huyo amepata ofa nono kutoka Tunisia.

Niyonzima ambaye amekuwa na msaada mkubwa klabuni hapo, bado hajasaini mkataba mpya mpaka sasa na anatarajiwa kuondoka nchini keshokutwa kwenda Rwanda kwa ajili ya kupumzika kabla ya kuamua kusaini Yanga au la.

Taarifa kutoka Tunisia zinaeleza kuwa, klabu moja kubwa ya nchini humo imeonyesha nia ya kumsajili Niyonzima ambaye ni kiungo wa zamani wa APR na tayari imeshampatia ofa nzuri ambapo mchezaji huyo amewajibu kuwa anaomba muda…

Events

 
 
 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

#ContentAdverts{ width:488px; float:center; margin-right:15px; }