Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku…

Added by G5 NEWS on June 18, 2013 at 1:00pm — No Comments
Na Mwandishi Wetu
MWILI wa mwanamuziki Langa Kileo jana (Jumatatu) ulipumzishwa kwenye nyumba ya milele katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar lakini nyuma ya kifo chake kuna siri ambayo rafiki yake wa karibu (jina linahifadhiwa) mkazi wa Mikocheni A jijini Dar ameamua kuiweka…

Added by G5 NEWS on June 18, 2013 at 12:52pm — No Comments
Added by G5 NEWS on June 18, 2013 at 12:50pm — No Comments
Na Joseph Ngilisho, Arusha
NYUMA ya matukio ya kigaidi ambayo yamefululiza kutokea jijini Arusha kuna njama nzito baada ya kuibuka maswali mengi yanayosababisha mahali hapa kutokuwa shwari na salama kufuatia bomu lililolipuliwa Jumamosi iliyopita, Uwazi lina uchambuzi.…

Added by G5 NEWS on June 18, 2013 at 12:44pm — No Comments
Added by G5 NEWS on June 18, 2013 at 12:02pm — No Comments
Added by G5 NEWS on June 18, 2013 at 11:55am — No Comments
Yes jamaa anajua kutumia Instargram yake vizuri, Ludacris ameingia kwenye Instargram kukanusha kuwa ameumizwa na chupa iliyo rushwa wakati anapiga mzigo kwenye club flani huko Atlanta. Ndio kuna chupa ilirushwa kuelekea kwangu ila haijanigusa and i m okey alisema Ludacris kupitia hii picha aliyo weka kwenye twitter…

Added by G5 NEWS on June 17, 2013 at 3:59pm — No Comments
Rapper anaye set standard za Hiphop duniani Jay Z ametangaza ujio wa cd yake mpya Itakayoitwa Magna Carta Holy Grail, Itakuwa mtaani July 4 na kupitia Simu za Sumsung utaipata kirahisi zaidi. Watumiaji Milioni moja wa kwanza wa Samsung Galaxy III, Galaxy S 4, na Galaxy Note II watapata nafasi ya kuwa na…
Added by G5 NEWS on June 17, 2013 at 3:51pm — No Comments
Mariam Mahamudu Afisa Afya, Mazingira Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii akizungumza katika mkutano huo kuzungumzia kuhusu kampeni hiyo, kulia ni Mrisho Mpoto Mkurugenzi wa Mjomba Band.…

Added by G5 NEWS on June 17, 2013 at 3:47pm — No Comments
TJ Jackson (1994-1998)
Damon Thomas (m. 2000–2004)
Julian St. Jox (2001)
(during her marriage to Damon)
Ray J (2002-s*x tape made 2003(during her marriage to Damon)-2007)
Nick Lachey 2006
Nick Cannon (Sept 2006-Jan…

Added by G5 NEWS on June 17, 2013 at 3:44pm — No Comments
Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika Mark Simmonds jijini London Uingereza siku ya jana.
Sorce:…

Added by G5 NEWS on June 16, 2013 at 12:15pm — 4 Comments
Added by G5 NEWS on June 16, 2013 at 11:55am — No Comments
Na Imelda Mtema
STAA anayeng’aa katika Muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amemsuta mganga aliyejitokeza na kudai kwamba mwaka huu staa huyo hatapata mafanikio yoyote na atapotea katika fani.…

Added by G5 NEWS on June 14, 2013 at 12:00pm — 3 Comments
Na Mwandishi Wetu
VIDEO inayomuonesha mama wa Wema Isaac Sepetu, Miriam Sepetu akizua timbwili ‘hevi’ nyumbani kwa mwanaye huyo huku akitishia kumchoma mtu kisu imevuja, Ijumaa limeinasa.…

Added by G5 NEWS on June 14, 2013 at 12:21pm — 3 Comments
"Yes The Carter V Ndio Cd Ya Mwisho Ila Bado Haijanza kufanyiwa Kazi" Rapper anaye fatiliwa zaidi na vijana duniani kwa sasa Lil Wayne amesema Album yake ya mwishi itakuwa The Carter V ila haitatoka anytime soon, kwanza album kibao kutoka kwake na Baba yake wa kambo Birdmen zitatoka. Wizzy amesema anamuda wa kutosha wakurecodi mziki mpya mpaka atakapo amua kutangaza…

Added by G5 NEWS on June 14, 2013 at 11:53am — 2 Comments
Na Mwaija Salum
MTANGAZAJI wa Kituo cha Redio cha Clouds, Loveness Malinzi ‘Diva’ ambaye hivi karibuni alianika penzi lake na mwanamuziki wa Kenya, Jackson Makini ‘Prezzo’, amefunguka kuwa watu waache kumsema vibaya mtu wake huyo na kudai hata kama ana wanawake wengine, anampenda tu.…

Added by G5 NEWS on June 14, 2013 at 11:46am — 2 Comments
Wengi tulikuwa tumemzoea kama sio yeye kutuzoesha kumsikia akichana kwa haraka haraka kwa takribani ngoma zake zote zilizopita, lakini sasfari hii Quick Rocka ameamua kuja kitofauti kabisa. Wiki tatu zilizopita nilikutana na Quick na akanitonya kuwa ana ngoma mpya ambayo amechana kwa flow tofauti na tuliyomzoea nayo "My Baby". Na sasa…

Added by G5 NEWS on June 14, 2013 at 11:39am — 3 Comments
Na Mwandishi Wetu
KWELI asiye na adabu hakosi sababu ya kuharibu, mwenye mdomo mchafu ni ada yake kutoa neno chafu, mwanamuziki chipukizi, Omar Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amedhihirisha kuwa ana kiwango cha juu sana cha dharau kwa kumdhihaki na kumtusi mtu aliyetangulia mbele za haki.…

Added by G5 NEWS on June 14, 2013 at 11:33am — 3 Comments
2013
2012
2011
2010
2009
2008
© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.
