Like us on Facebook..!

FIND G5 ON

ADVERTISEMENT

Top 5 Videos this Week

3. Wiz Khalifa- STU

Added by G5 NEWS on October 21, 2012

All Blog Posts Tagged 'ya' (83)

Mrisho Ngassa aikataa jezi ya Yanga SC

Mrisho Ngassa baada ya mechi ya Simba na Yanga.

Na Khatimu Naheka

BAADA ya kutua Yanga, kiungo mshambuliaji, Mrisho Ngassa, amesema hataweza kung’ang’ania jezi zake za zamani na kwamba…

Added by G5 NEWS on May 22, 2013 at 11:33am — No Comments

EXCLUSIVE: Agness Masogange the Video Queen aongea ya Moyoni kuhusu yote yanayozungumzwa kumuhusu yeye.

Anaweza kuwa ndiye video queen hot&sexy zaidi Bongo na ingawa ameshiriki on two videos pekee anabaki kuwa V,queen mwenye jina kubwa zaidi. Siku za karibuni amekuwa akimake headlines on social networks pia magazeti baada ya video na picha zake chafu kusambaa on social networks,TEENTZ imefanya nae Exclusive interview na kuongea ya moyoni kuhusu yote yanayozungumzwa kumhusu.…



Added by G5 NEWS on May 9, 2013 at 5:18pm — 1 Comment

AFYA CHECK ya Clouds TV ya wiki hii ilikuwa ni kuhusiana na wanawake wenye mizunguko tofauti ya mwezi !!

Follow Us on Twitter : afyacheckonline
Like our Facebook fanpage : AFYA CHECK
Subscribe on our Channel : http://www.youtube.com/afyacheckonline

Added by G5 NEWS on May 1, 2013 at 10:00am — No Comments

WEMA, WE ACHA TU - alikodisha ndege ya kifahari kutoka Dar kwenda Arusha

Stori:Imelda Mtema

Kwa mara nyingine staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu anatengeneza kichwa cha habari baada ya kuacha historia jijini Arusha kufuatia ulinzi mkali aliokuwa nao, Ijumaa lina data zote.…

Added by G5 NEWS on April 26, 2013 at 1:00pm — No Comments

LIST YA NGOMA AMBAZO ZITAUNDA MIXTAPE MPYA KUTOKA KWA JCB NA MO PLUS

Cover Art

 Coming soon!!!!Makalla wa Ukoo Mixtape Coming Soon check…

Added by G5 NEWS on March 21, 2013 at 9:30am — 1 Comment

Polisi wa Chicago kusitisha huduma ya 911

Kuanzia wiki hii polisi wa Chicago kusitisha huduma ya 911

Added by G5 NEWS on February 11, 2013 at 11:48am — No Comments

Nyimbo mpya ya MADEE inaitwa SIO MIMI

Added by G5 NEWS on February 7, 2013 at 8:27pm — No Comments

Ofa kali na ya kijanja Jipatie Modem za mitandao yote Vodacom, Airtel, Tigo na Zantel

Ofa kali na ya kijanja Jipatie Modem za mitandao yote Vodacom, Airtel, Tigo na Zantel Toka Imalaseko Super Market, wahi ofa hii ni ya muda maalumu Jipatie Modem kwa TSH 30,000/= tu

Modem zikiwa na Muda wa hewani wa TSH 20,000/=

For More Details please call…

Added by G5 NEWS on February 6, 2013 at 7:53pm — No Comments

BREAKING NEWS: UPDATE 1:- Elizabeth Michael ‘Lulu’ amepata dhamana leo, wafadhili kuweka bondi ya Shilingi mil 20

Breaking News : Msanii Maarufu Lulu Michael aanayekabiliwa na tuhuma za mauaji ya Msanii mwenzake Steven Kanumba amepata dhamana leo.

Baadhi ya masharti aliyopewa Lulu ni pamoja kuacha hati yake ya kusafiria mahakamani,kuripoti mahakamani na wafadhili…

Added by G5 NEWS on January 28, 2013 at 1:08pm — 2 Comments

VIDEO : Cassidy akimpa onyo MEEK MILL asijibu diss track yake ya dakika 10 (RAID)



Msikilize rapper CASSIDY akizungumza kuhusiana na uamuzi wa kutoa diss track track yenye urefu wa dakika kumi kwaajili ya MEEK MILL ambaye wana beef naye .Katika mahojiano haya Cassidy anamuonya MEEK asijaribu kujibu track hii.…

Added by G5 NEWS on January 9, 2013 at 12:00pm — No Comments

Said Salim Bakhresa akamata nafasi ya 30 katika orodha ya watu matajiri 40 barani Afrika – Forbes

Orodha ya jarida la Forbes la watu 40 matajiri zaidi barani Afrika imetupa jibu la ‘uhakika’ nani ni mtu tajiri zaidi kuliko wote nchini Tanzania. Si mwingine zaidi ya Said Salim Bakhresa ambaye amekamata nafasi ya 30 kati ya matajiri 40 wa barani Afrika kwa kuwa na utajiri unaofikia dola milioni 520…

Added by G5 NEWS on November 24, 2012 at 11:52am — 1 Comment

Linnah & Amini Wafanya Ngoma ya Pamoja ,itatoka hivi karibuni...

Wasanii kutoka JUMBA LA VIPAJI ( T.H.T ) Lina na Amini kwasasa wanafanya nyimbo kwa pamoja kwa mara ya kwanza .Wawili hao ambao walishawahi kuwa wapenzi kipindi cha nyuma kwasasa wameamua kukaa na kufanya nyimbo pamoja ilikuwapa mashabiki wao burudani zaidi ila bado hawajasema lini…

Added by G5 NEWS on November 1, 2012 at 10:33am — No Comments

Marekani yaahidi msaada wa dola milioni 58 kwa Pembe ya Afrika

Marekani iliahidi msaada wa ziada wa dola milioni 58 kwa nchi ze Pembe ya Afrika hapo Jumatatu (tarehe 22 Oktoba).Zaidi ya Wasomali milioni 2 bado wanahitaji msaada wa dharura licha ya kumalizika kwa njaa mapema mwaka huu, ambapo eneo hilo linakabiliwa na migogoro, mafuriko na ukame, alisema Waziri wa Mambo…

Added by G5 NEWS on October 24, 2012 at 11:34am — No Comments

Kenya imetoa mafanikio inayohamasisha kuelekea malengo ya Dira 2030

Kenya imepata maendeleo makubwa kuelekea Dira yake ya 2030 katika sekta za afya na elimu licha ya mazingira magumu ya kiuchumi kwa miaka mitatu iliyopita, Capital FM ya Kenya iliripoti hapo Jumatatu (tarehe 22 Oktoba).

"Licha ya uchumi kuathiriwa na misukosuko mingi ya ndani na nje, maendeleo makubwa…

Added by G5 NEWS on October 24, 2012 at 11:29am — No Comments

AY ndani ya Categories 3 kwenye tuzo za CHANNEL O (CHOMVA12)

AY msanii kutoka TANZANIA ameingia kwenye tuzo za Channel O Music Video Award 2012 akiwa kwenye sehemu 3, sehemu hizo ni pamoja na

Most Gifted Video of the Year

AY ft Romeo & Lamyia: Speak With Your Body…

Added by G5 NEWS on September 1, 2012 at 12:03pm — 7 Comments

Simba na Azam ni vita ya kisasi

Pichani: Mechi ya robo fainali ya Kombe la Kagame, ambapo Simba ililala 3-1.

Na Lucy Mgina

KLABU ya Mtibwa Sugar leo Jumatano itaingia mzigoni kupambana na Jamhuri ya Zanzibar katika mchezo mkali wa nusu fainali ya michuano ya Super 8,…

Added by G5 NEWS on August 15, 2012 at 9:15am — No Comments

Cheki Trailer la Movie mpya ya 50 Cent inayoitwa Freelancers akiwa na Robert De Niro, Forest Whitaker

Cheki Trailer la Movie mpya ya 50 Cent inayoitwa Freelancers akiwa na Robert De Niro, Forest Whitaker

Added by G5 NEWS on August 15, 2012 at 9:00am — No Comments

Kipindi cha Take One cha Clouds Tv cha wiki hii (Mama yake mzazi wa msanii Sajuki anaongea na wewe ndani ya Take One)



Ilikuwa ni baada ya wewe kujitolea kwa moyo mmoja kumsaidia mwanae katika wakati wake wa shida...aliembeba miezi tisa tumboni ,Mama yake mzazi Sajuki anataka kuongea na wewe ndani ya Take…

Added by G5 NEWS on May 18, 2012 at 10:30am — No Comments

Monthly Archives

2013

2012

2011

2010

2009

2008

1999

1970

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

#ContentAdverts{ width:488px; float:center; margin-right:15px; }